Kwa wakubwa tu


kwanza utubu dhambi zako na kuokolewa, pili unatakiwa uende ukaombewe, tatu uoe hizo ni roho chafu za enzi za sodoma na gomora, hakuna mtu aliyetulia na mwanamke mmoja, nne ujiombee wakati wote
 




Ni kweli kuna wengine watakuwa waliumbwa kuja kuipamba dunia tu sasa sijui na mleta mada pia yanamuhusu!!
 
Mtoa mada kwanza naomba kuuliza huwa unaota ndoto gani?

Maana icje ikawa ni spiritual wife yupo kazini na huwa wanahakikisha huwi na mahusiano wala huoi
 
Kwanza hujapata unaye mpenda kwa dhat, hao unao dhani unawapenda sio kweli kwamba unawapenda, ni tamaa tu ya game , hivyo dawa ya tatizo lako upate unaye mpenda huto muacha.kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…