Yah, ni tatizo ambalo lipo na linaumiza sana, unakuta mtu unataman kuwa na long term relationship ila ukipat mwenza tu na kumgonga basi hamu yote huisha, ebu jaribu kuwa na girl kwa mda wa miezi mitatu au minne bila kufanya nae sex , kama pia utamchok basi ni another topic. Wengine mmeumbwa hivyo automatically