Kamau Kingu
Member
- Feb 8, 2015
- 71
- 7
Heshima kwenu,
Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?
Kazi kwenu
Mwende kwa padri au mchungaji mkazungumze kuna makosa mengine yanawatenganisha
nenda kanisani hakuna padre humu
Mnamshauri mwenzenu aende kwa Padri. Sasa huyo padri akiomba Faragha na Mkewe Je ampishe?
Manake Mapadri kuwapelekea wake ni sawa na Kupeleka kesi ya Mbuzi kwa Fisi. Lzm mtuhumiwa na mtuhumiaji Watafunwe!
Teh teh teh teh.
Yaani mnaishi tu ata kama unamkuta mwenzio anagegeda au kugegedwa unatakiwa kumsamehe?
Aaaaah iyo ngumu sana
Heshima kwenu,
Naombeni mnijuze, hivi ni haki kweli kuishi na mkeo hata kama anakufanyia vituko na vitendo visivyo vyakiutu eti kwakuwa mliambiwa mkae pamoja mpaka kifo kiwatenganishe?
Kazi kwenu
Yaani mnaishi tu ata kama unamkuta mwenzio anagegeda au kugegedwa unatakiwa kumsamehe?
Aaaaah iyo ngumu sana