Kwa wadada

Kwa wadada

Ros tomas

Member
Joined
Dec 11, 2017
Posts
48
Reaction score
36
Unakuta mdada unamahusiano nae kukutana ni bar halafu unategemea ndoa hata hamjuani mnapokaa. Men ndio kazi yake kukutafuta hata mkiwa mmegombana hamna mda wa kumtafuta kusuruhisha.
Kukupigia au SMS mpaka awe na shida ndio anakutafuta kama hana utaisoma number dawa yenu hatuwaambii kamwe mue mnalia kila siku kuachwa. Papuchi zimejaa halafu unaleta maringo ukipigwa chini achukuliwe mwingine majungu yanaanza. Ukiona huwezi kukaa na MTU usimsumbue tens unapomuona na demu mwingine. Ugande kama barafu na usiyeyuke au jifanye ujaona😎😎😎😎😎😎😎😎😎
 
Mtoto wa kiume unaandika mipasho????... Haya huyo mwanamke wako yupo humu???
 
Mtoto wa kiume unaandika mipasho????... Haya huyo mwanamke wako yupo humu???
nilikua namwonea huruma imechukua miezi 6 sasa nampiga chini nimejaribu kumvumilia hapana tena.anazo Id kama tatu humu😯
Wanawake wanaojipendekeza noma sana nilikua nawakataa wengi huyu nikampa chance ananiona remote na anarusha matangazo kama cloudsfm nimeona hana faida hata moja ameniharibia CV na ridhiki yangu kwa demu mwingine nasubiri Hall itulie nimfate yule tunayeviziana wote mwenye birian ya ngamia
 
nilikua namwonea huruma imechukua miezi 6 sasa nampiga chini nimejaribu kumvumilia hapana tena.anazo Id kama tatu humu[emoji54]
Wanawake wanaojipendekeza noma sana nilikua nawakataa wengi huyu nikampa chance ananiona remote na anarusha matangazo kama cloudsfm nimeona hana faida hata moja ameniharibia CV na ridhiki yangu kwa demu mwingine nasubiri Hall itulie nimfate yule tunayeviziana wote mwenye birian ya ngamia
Aiseeeeeee
 
Back
Top Bottom