umenkumbusha mwaka juzi nilikuwa naenda lushoto,basi kwenye basi nadhani la jeingata nilipanda na dada mmoja mkaliz sana na kakamilika kila idara,tulikuwa tumekaa siti tofauti basi ile kumwongelesha akawa anazingua kana kwamba aniju nikapotezea.
Tulipofika mombo jamaa alokaa nae siti moja akashuka basi nikashukuru kimoyo moyo zali limeniangukia,nikahamia siti yake na kuanza kumzingua akaleta nyodo nkaona isiwe tabu.
Tulipoanza kupanda ile milima ya usambara naona mtu anaanza niongelesha na kunisogelea mara ananikumbatia,kumbe muoga wa milima na kona zile nami kwa uso wa mbuzi nikahama siti.