Kwa wadada ishakutokea hii

Kwa wadada ishakutokea hii

Ushawahi kutana na mkaka ana sifa zote yaan handsome mpaka unasema hapa nifurahishe nafsi,,anakutokea mnakuja kukubaliana siku unamvulia chupi utashangaa umeparamiwa ,kuku si kuku ,halaf maumbile yake yanakuwa madogo hata hujawahi yaona ya vile
Lakin kabla ya kukutana ulijipa ma hope kuwa utaenda pata vitu romantic lakin ikawa kinyume kabisa
Hapo zamani niliwah kutana na mkaka bonge la mkaka hata nikimrusha hapa mtaniomba namba nyie mrefuu kajaziaa kiasi,ana sura nzuri ya kiume !,kwa kweli nilikua namtamani akaja jilengesha siku hiyo tukaenda club anajua kucheza huyo lakin sasa kila tukibambiana sisikii kitu kikinigusa kwenye makalio yangu yaan ,,nikawa najiuliza mbona hakuna ugumu ugumu hapa kwenye suruali (akili zangu naziJua mwenyewe) baadae tukaenda lala aisee ule urefu na uhandsome wote sikuamini kama atakuwa na ka **** kadogo vile maana alivua ngup zote akaenda bathroom kujimwagia na kadudu kake ,nikajuta na kujuta maana nilikua na hamu si utani zikaisha hapo nikamuambia naumwa tumbo sana nahisi kuingia period ni tarehe zangu,,alipokua anaishi si mbali na kwetu,akanisindikiza nikaenda lala home
Akawa ananitafuta nikawa nampa sababu siko poa nipo busy,,mpaka akaona aache kunitafuta
Lakin ukimuona anavyojisikia sasa kumbe pale kati kuna kidole cha kati
Basi hua ananitazama lakin ukimuona huwezi acha mtamani

Kiukweli ni hivi wanawake tunapenda kitu cha size ya kati,sio kubwa wala ndogo,,kuna wengine wanapenda kubwa kabisa,,,,kakizidi hapo jomonii kanaharibikia,,sijui wanaume wenye dudu ndogo mnajisikiaje aise maana kuna vibamia vya ukweli ila nyie hivi sijui merithi kwa wajomba au baba
Najua mtatokwa povu ooh mabwawa aaa wapi tududu twenu tumezidi udogo hatuna ladha kabisa
Halaf sasa wakaka wenye tududu tudogo wanapenda wanawake hao unakuta kila mwanamke anajua kua ana kakibamia kalikotukuka

RUKSA MAPOVU
Mwanaume usije ukajidanganya kutembea na wanawake wanaoweka kucha ndefu hawanawi ikulu
 
Just like in driving. Before you kill a driver, you have to consider several other factors like the type of car and it's state/condition. Some cars were built just to get you from point A to B. Can't expect one to drive a station wagon the same way he would a Rolls Royce for instance, or vice versa.
 
Biashara ni matangazo, wenye matango pori hii ndio fursa kutoka kwa mtoa post.....
 
Kwa nini nikudanganye josee, kwangu mimi kuliko tango bora mwenye kiunyafuzi akishindwa kunitekenya basi aweke vidole japo sipendi vidole lkn naweza mvumilia kuliko mwenye mtwangio sitaki hata kuwasikia kisa cha kutengua uti wa mgongo
Wala hata hutenguki ila tango kybwa mno,,,aweke ndizi
 
Sikia dada, vijana wengi hawaoi au wanajipata ktk wakati mgumu kufanya maamuzi ya kuoa kwasababu wadada wengi mnataka mitwangio. Mmewasababisha baadhi ya vijana wenye mitwangio waigeuze mtaji mjini hawataki kazi wanataka kulelewa.
Ni ngumu sana ndoa ya wadada mliokwisha kuonja kila size ya dushe kudumu kwasababu mmeshacheza mno kwingi na kupata uzoefu uliopitiliza ambao ninahakika dini haziruhusu, mume na mke kuna uchafu mwingi ambao hawawezi kuufanya kwasababu za kutii dini na heshima kwa kila mmoja. Utakapopungukiwa na chochote ulichokizoea ktk sarakasi zako before kuolewa basi utakwenda kuutafuta nje ya ndoa.
 
We kuna raha yake mwanaume akigusa mwisho ,akigusa kizazi
Mbona wengine hulalamika ikugusa kizazi? Hata hivyo kuna mwingine utamuona kibamia ila akisimamisha hutaamini ndiye yeye jinsi inavyoongezeka saizi. Kuna wengine wanazo kubwa na ikisimama bado urefu ni ule ule. Wanaume wanatofuatiana. We ungesubiri uone..na wakati mwingine ni kabamia lakini kagumu kama chuma na mwingine ni kubwa ila haina ugumu. Ulikosa hiyo experience labda ungekuwa unaongea mengine sasa hivi.
 
Mbona wengine hulalamika ikugusa kizazi? Hata hivyo kuna mwingine utamuona kibamia ila akisimamisha hutaamini ndiye yeye jinsi inavyoongezeka saizi. Kuna wengine wanazo kubwa na ikisimama bado urefu ni ule ule. Wanaume wanatofuatiana. We ungesubiri uone..na wakati mwingine ni kabamia lakini kagumu kama chuma na mwingine ni kubwa ila haina ugumu. Ulikosa hiyo experience labda ungekuwa unaongea mengine sasa hivi.
Ikiwa saizi ikigusa kizazi hauumiii inategemea na mtombaji,,likiwa kubwa sana halaf mtu hajui kutumia anasokomeza tu lazima uumie,,,kuna dudu kweli zikiwa zimelala ndogo zikisimama zinakuwa za kati,,sasa huyu handsome yeye kamesimama kakawa kama nini sijui ,,yaan ingekuwa mie nIsingevua
 
Ila wanawake wanashindwa kuridhika kwasababu wanakutana na wanaume wengi mno. Maana huwezi lalamikia kitu kama huna experience nacho.
Sasa si na nyie hamridhiki,,mngekuwa mnatulia na sisi haya tungeyaona wapi
 
Back
Top Bottom