Kwa vijana wazamani tu

Kwa vijana wazamani tu


Afro 70 wakati wako juu. Waimbaji Monte Gomes na Steven Balisdya (alikuwa pia anapiga drums), Dick Unga, Shabby Mbotoni(alikuwa pia alikuwa anapiga saxophone na bass). Magitaa Patrick balisdya, Owen Liganga(second solo), Salim Willis(second solo), Jack Matte (rythm guitar),Charle Matonya(Bass guitar), Paul Mdasias (drums),
 
Nikiangaliaga hizi picha nawazaga sana

Inamana miaka 30 ijayo sisi tutaitwa zilipendwa?
 
wakati huo wanaenda kufanya recording RTD, siku hizi studio zipo kila kona.
 
Bulldog usiogope kuitwa zilipendwa,maana wote tunaenda huko na tunaishia chalinze tu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu muda huwo bado sikuzaliwa na hii picha nina huhakika na jamaa hawa ni wanamuziki na tafauti wa kileo mara kasuka kipeni puani herieni mkufu mapete vidoleni hengha chef na kal kit vikoro koro kibao utasema siyo riziki yaani ushololo usharubarooooo tuu
 
Du mwenzio kuitwa marehenu noma naogopa kufa du nikifikiria zile tani unazofukiwa inanipa shock
 
Back
Top Bottom