Kuna uhusiano gani wa urefu wa mwili na uwezo wa kucheza soka? Naomba mtaalam anijibu.
Maximo ni mwalimu wa muda mrefu. Nimekuwa nikiuatilia sana uchaguzi wake mara zote ameonekana kukubali watu warefu zaidi ya wafupi.
Mfano Ivo V/s Kaseja.
Naomba scientific reasoning.