Emerson mchezaji mpya wa 'maximo' alipotua leo Dar, nimefurahishwa na ukubwa wa begi lake kwamba ana uhakika wa kubaki na si kama mwenzie Jaja.................ama badu kama hakujifunza namsihi asije akalisahau chumbani
Hao ndio yanga...timu ya magazeti...timu ya kumpigia magoti kanjibhai.....mtaletewa hadi wauza pombe bar kutoka brazil...yaaani yanga ni wa kuonewa huruma......................
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.