Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,268
- 5,815
Ndugu wanajamvi!
Kwa wale wakazi wa Jiji pendwa lijulikanalo kama Dar es salaam, jiji hili limekuwa na pilikapilika nyingi za usafiri.
Lakini sambamba na adha hiyo, kumekuwa na ubabe mwingi kwa waendesha vyombo hivyo vya usafiri na kupelekea kila mmoja kuwa mbabe. Hii haijalishi, bodaboda, mikokoteni,gari nk.Hivi kwanini hupelekea hivyo?
Michango yenu ni mhimu kwa mstakabari wa kujenga utu!
Kwa wale wakazi wa Jiji pendwa lijulikanalo kama Dar es salaam, jiji hili limekuwa na pilikapilika nyingi za usafiri.
Lakini sambamba na adha hiyo, kumekuwa na ubabe mwingi kwa waendesha vyombo hivyo vya usafiri na kupelekea kila mmoja kuwa mbabe. Hii haijalishi, bodaboda, mikokoteni,gari nk.Hivi kwanini hupelekea hivyo?
Michango yenu ni mhimu kwa mstakabari wa kujenga utu!