mlambaji asali
Senior Member
- Jan 30, 2023
- 150
- 505
Kwa kiwango walichokionesha kwenye mechi dhidi ya Tp Mazembe, Naiona Yanga ikishinda 2-1 ugenini.
Je unahisi Yanga watashinda goli ngap
Je unahisi Yanga watashinda goli ngap
Kwa Sasa humu jf sports wanapaona kama kituo cha policeNgoja yaje mabumunda kuharibu huu uzi
Bamako 2- 0 yang'aa
Kama mlichopigwa kule guinea na wale wachovu HoroyaYani nyie banaaa hahahaa
Mtapigwa kimoko cha dharau mrudi hapa mpumue
Ewaaaaa chenu kitakua cha dkk zile zile mlizopigwa na wa Tunis hahahaKama mlichopigwa kule guinea na wale wachovu Horoya
Kama alizowaweka prince dube wa Azam juziEwaaaaa chenu kitakua cha dkk zile zile mlizopigwa na wa Tunis hahaha
Sio makolo aisee,lazima wapite nao huu uziKwa Sasa humu jf sports wanapaona kama kituo cha police
La kuotea lile mr Bwaksi...Kama alizowaweka prince dube wa Azam juzi
Ila mlitia fora aisee sekunde ya 10 tu goli, yaani hata kuku huwa wanachelewa kidogo
Kina nani hao? Yani tuache kuwepo jukwaani kisa Simba amefungwa kwani dhambi ? Sisi wengine tupo sana humu.. 😄 😄 😄 😄Kwa Sasa humu jf sports wanapaona kama kituo cha police
Goli moja la mayeleKwa kiwango walichokionesha kwenye mechi dhidi ya Tp Mazembe, Naiona Yanga ikishinda 2-1 ugenini.
Je unahisi Yanga watashinda goli ngap