GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,542
- 108,877
Ni Mama Mzazi ambaye 'amefiwa' na Mwanae (Bintinye) ndiyo ameonyesha hizi tabia Kuu Saba (7) tajwa hapa chini.
1. Muda mwingi anaagiza apigwe picha
2. Muda mwingi anachati na simu yake
3. Muda mwingi sura ya huzuni inaadimika nyagoni/usoni mwake
4. Muda mwingi machozi unayatafuta kwa tochi machoni mwake
5. Muda mwingi sura yake anaielekeza kilipo kitabu cha michango ya rambirambi
6. Muda mwingi anakuwa ‘busy‘ na kila kitu anataka akifanye yeye tu
7. Muda mwingi anapiga tu ‘soga‘ na ‘mashosti‘ zake ambao ni ‘wadangaji ‘ watupu
Nasubiri mirejesho yenu tafadhali.