taamu
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 10,181
- 8,063
natania tuMimi sio wa tasnia hiyo ya kutaka kila mwanamke anayekatiza machoni kwangu
natania tuMimi sio wa tasnia hiyo ya kutaka kila mwanamke anayekatiza machoni kwangu
Ni pacha wangu huyu nadhani ukiniangalia mimi unapata pichaEm weka picha yako tukuone manake tusije kuwalaumu kumbe una sura ya kizee baba
Mdada au mmama ukikushikamia unajibu marhaba mpenzi Au marhaba, hujambo laaziz, shikamoo inakufa kifo cha mwizi hapohapo.Jibu: Marahabaa
au
Jibu: Sijambo tu - Wataelewa salaamu unayoitaka.
JITAHIDI na wewe umegeNi kama mwezi tu toka nihamie mtaa mpya. Nimepanga kwenye nyumba nzuri tu vyumba vyangu viwili.
Situmii muda mwingi hapa gheto kwani nakuwa busy na issue zangu. Ila kuna mama mmoja mke wa jirani yangu ananipa taabu sana. Nikirudi tu gheto, huyu hapa kaka hujambo, mbona mpweke sana, nikupe kampani. Mara ooh nyie watu wa Tanga mko vizuri, mara kaka unaonekana mwingi wa mahaba.
Nimeshamuonya mara kadhaa kuwa huo mtego wake utamletea maafa hasikii. Ni mama mzuri na hajazaa bado. (actually amefungasha vizuri). Hofu yangu naona kama uzalendo unafikia mwisho sasa.
Nifanyeje jamani?
Wazo jema kwa wakati muafa twasubiri utekelazaji tuEm weka picha yako tukuone manake tusije kuwalaumu kumbe una sura ya kizee baba
Wazo jemaJibu: Marahabaa
au
Jibu: Sijambo tu - Wataelewa salaamu unayoitaka.
Mi sina hata ela naganga njaa sana mkuumapene
Kiukweli niko serious sana hua sicheki kirahisi.wanakuchunguza kama na wewe unataniika??unaonekana mda mwingi unakuwaga siriasi sana..hata Mimi kipindi Fulani ilikuwaga vivyo hivyo nikaomba ushauri humuhumu jf nikaufuata nikaanza kujifanya mtambo kuna kanafunzi kamoja kalizoea kuniamkia siku hakakuamini masikio yake jibu alilolisikia toka kwangu ile "shikamoo"nikakaambia njoo uishike kama wanajf walivyonielekeza kakashangaa "khe kumbe na wewe mjanja hivyo mi nakuonaga mpoole"kilicho endelea huko alaaniwe shetani...!!basi ndo mwendo huo huo siku hizi haviniamkii tena naviamkia vyenyewe
kwa hiyo hawa wenzetu ni wajanja sana hiyo shikamoo unazopewa huwa wanatafuta starting point ya kuanza mazungumzo na wewe...!usiwe siriasi sana we jifanye mtambo tu siku moja afu utaona kama watakuamkia tena..
Sawa najua hautakufa paka weweYani vijana mnavopenda wamama mtakufa kwa ukimwi mbwa nyinyi!!
Ila sio kwa ngomaSawa najua hautakufa paka wewe