big dreamer
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 398
- 1,059
Jaman Habari zenu wanajamvi,,,,ngoja nishuke kwenye punda ili tuongee vizuri
Jamani hapa juzi kuna kitu alifanya nikawa namkemea(kufoka) shemeji yenu tena kwa kumtunzia heshima nilisubiri tumebaki nyumba nzima sisi wawili tu lakini nayeye akawa anajibu mpaka hasira zikanipanda mpaka nikamkuda nusu nimkande lakini nikakumbuka kiapo nilichojiwekea kuwa sitampiga mwanamke na mama yangu alinisisitiza hilo swala la kutompiga mwanamke basi nikamwacha Lakini nusu ale makofi kwa mara ya kwanza,,,
Swali kwenu wanamazengo ninyi mnatumia njia gani kwa mwanamke ambaye unamkemea kitu naye anakuja juu nawewe hautaki kumkanda (kumpiga) ,,ninyi wenzangu mnatumia njia gani ili ajue kwamba amekuudhi kupitiliza
Jamani hapa juzi kuna kitu alifanya nikawa namkemea(kufoka) shemeji yenu tena kwa kumtunzia heshima nilisubiri tumebaki nyumba nzima sisi wawili tu lakini nayeye akawa anajibu mpaka hasira zikanipanda mpaka nikamkuda nusu nimkande lakini nikakumbuka kiapo nilichojiwekea kuwa sitampiga mwanamke na mama yangu alinisisitiza hilo swala la kutompiga mwanamke basi nikamwacha Lakini nusu ale makofi kwa mara ya kwanza,,,
Swali kwenu wanamazengo ninyi mnatumia njia gani kwa mwanamke ambaye unamkemea kitu naye anakuja juu nawewe hautaki kumkanda (kumpiga) ,,ninyi wenzangu mnatumia njia gani ili ajue kwamba amekuudhi kupitiliza