Kwa serikali ijayo: Walimu tunataka haya

Kwa serikali ijayo: Walimu tunataka haya

lizon

Senior Member
Joined
Jul 29, 2015
Posts
126
Reaction score
89
Ndugu wana jf na walimu wenzangu kwa takribani miaka mingi walimu tumekuwa tukilalamikia masilahi mabovu,mazingira mabaya ya kufanyia kazi,vitendea kazi hafifu na matatizo mengine lukuki nazani yanafahamika.
kwa hali hiyo walimu tunataka. mambo yafuatayo yatimizwe ndani ya siku miaka moja (100) za mwanzo mwa serkali ijajo....

1.kutupandishia mishahara

Degree:1200000 basic salary

Diploma:950000 basic salary

Certificate:720000 basic salary

2. posho ya mazingira magumu na housing allowances angalau laki mbili kila mwezi

3.kuboresha mazingira ya kazi

* vitabu na maabara,madawati ya kutosha

*mfumo wa elimu bora

3.kupandishwa madaraja kwa wakati...

HIZO NDIO HISIA ZANGU
 
Mtalipwa kwani mnafanya kazi nzuri katika mazingira magumu sana freedom is coming tomorrow
 
hivi ni viroba tu ndio vinawatindua akili kiasi hiki au mnachanganya na kitu ingine?
 
Naomba juongezea ... walimu wanahitaji kuwa na chombo kimoja cha ajira na huduma kwa walimu na amcho ndicho kitakachokuwa kinalipa mishahara na marupurupu mengine. Walimu wanahitaji nyumba za kuishi. Walimu na wanafunzi wenye ulemavu wa aina mbalinbali wanahitaji kuporeshewa miundonbinu muafaka ili wafundishe na wajifunze bika kuathiriwa na uduni wa miundombinu na mazingira yasiyo rafiki kwao. Walimu wanahitaji kushirikishwa katika mipango ya elimu si kujumuishwa tu katika mipango hiyo. Walimu wanahitaji mafunzo kazini nk.
 
Ndugu wana jf na walimu wenzangu kwa takribani miaka mingi walimu tumekuwa tukilalamikia masilahi mabovu,mazingira mabaya ya kufanyia kazi,vitendea kazi hafifu na matatizo mengine lukuki nazani yanafahamika.
kwa hali hiyo walimu tunataka. mambo yafuatayo yatimizwe ndani ya siku miaka moja (100) za mwanzo mwa serkali ijajo....
1.kutupandishia mishahara
Degree:1200000 basic salary
Diploma:950000 basic salary
Certificate:720000 basic salary
2. posho ya mazingira magumu na housing allowances angalau laki mbili kila mwezi
3.kuboresha mazingira ya kazi
* vitabu na maabara,madawati ya kutosha
*mfumo wa elimu bora
3.kupandishwa madaraja kwa wakati...

HIZO NDIO HISIA ZANGU

Thamani ya pesa itashuka sana
 
Vyeo kupandishwa kwa wakati inawezekana. Ila kulipwa mshahara milioni 1.2 hio msahau haiwezekani labda kama mnataka kukausha hazina yetu. Walimu mko wengi mno kila mtu akilipwa mshahara huo hatutafika. Najaribu kuwa realistic kidogo sio ushabiki.

Atakayewaanbia mtalipwa pesa hizo atakuwa anataka kura zenu tu.
 
Ndugu wana jf na walimu wenzangu kwa takribani miaka mingi walimu tumekuwa tukilalamikia masilahi mabovu,mazingira mabaya ya kufanyia kazi,vitendea kazi hafifu na matatizo mengine lukuki nazani yanafahamika.
kwa hali hiyo walimu tunataka. mambo yafuatayo yatimizwe ndani ya siku miaka moja (100) za mwanzo mwa serkali ijajo....
1.kutupandishia mishahara
Degree:1200000 basic salary
Diploma:950000 basic salary
Certificate:720000 basic salary
2. posho ya mazingira magumu na housing allowances angalau laki mbili kila mwezi
3.kuboresha mazingira ya kazi
* vitabu na maabara,madawati ya kutosha
*mfumo wa elimu bora
3.kupandishwa madaraja kwa wakati...

HIZO NDIO HISIA ZANGU

mkuu,nyie si mmesema mna kila kitu kasoro laptops tu ndo hamna?kwamba mkipewa laptops mtakuwa mmekamilika sasa mbona mnageuka mnakuja na madai mapya?
 
Subirini laptop tu kwani serikali haina pesa za kuwalipeni huo mshahara.
 
Vyeo kupandishwa kwa wakati inawezekana. Ila kulipwa mshahara milioni 1.2 hio msahau haiwezekani labda kama mnataka kukausha hazina yetu. Walimu mko wengi mno kila mtu akilipwa mshahara huo hatutafika. Najaribu kuwa realistic kidogo sio ushabiki.

Atakayewaanbia mtalipwa pesa hizo atakuwa anataka kura zenu tu.

Acha kutugadaa kinafiki, unayajuaje ya hazina. Whi are you mpaka uisemee serikali. Haiwezekani kwa CCM yenu tu. Wacha tujaribu na wengine labda tutafurahi. We umeona walimu tu ndo hawafai mishahara mizuri. Na si tunasema tumeichoka CCM kwa sababu inaona walimu kwa wingu wao hafai kuoewa mishahara mizuri kama wafanyakazi wengine. WALIMU HUU NI MWAKA WETU KUAMUA. NI BORA MWONGO ANAYEKUPA MATUMAINI KULIKO MNAFIKI KAMA CCM Wanaoneemesha familia zao.
 
Back
Top Bottom