Uchaguzi 2020 Kwa rhetoric kama hizi, uwezekano wa jina lake kutokuwepo kwenye ballot paper unazidi kuongezeka

Mwache aendelee kubwata kama chemba iliyofurika. Ushahidi unakusanywa mdogo mdogo kwisha habari yake. Cha ajabu hata vyama vingine wameona hilo na wamesema. Utafikiri Mgufuli ni moja ya agenda zake. Ndio maana hapa Hai tumemtimua anapotezea muda wananchi kufanya shughuli za maendeleo.
 
Ni kama vile upinzani baina Tundu Lissu na Rais Magufuli ni personal.

Lissu anatumia lugha kali sana akiwa anamzungumzia Magufuli. Kabakiza tu kumtukana matusi ya nguoni hadharani [si ajabu faraghani huwa anamtukana hayo matusi ya nguoni].

Kwenye video hii kutoka jana akiwa Arusha, kuanzia dakika ya 1:29....baadhi ya watu kwenye umati aliokuwa akiuhutubia, walisikika wakisema ‘wewe ni ngosha bana’.

Naye aliposikia hivyo akajibu kwa kusema ‘eh mi sio ngosha....mi sio jiwe’.

Hakika, kwa kauli kama hizo, akiwekewa figisu ili hatimaye jina lake lisikuwepo kwenye ballot paper mwezi Oktoba, sitoshangaa kabisa.

Lissu wakati mwingine mdomo wake huwa hauna chujio kabisa.

Sasa kusema "mimi sio ngosha,mimi sio jiwe" na wewe ndo umeona uandae uzi kabisa?raia bhana...
 
Sasa kusema "mimi sio ngosha,mimi sio jiwe" na wewe ndo umeona uandae uzi kabisa?raia bhana...
Wewe na makamanda wenzio hamna akili kabisa.

Mmeshindwa hata kuelewa mlichokisoma.

Muda si mrefu mtanielewa tu.
 
Wewe na makamanda wenzio hamna akili kabisa.

Mmeshindwa hata kuelewa mlichokisoma.

Muda si mrefu mtanielewa tu.
Sawa boss....wew ndo mwenye akili ambae unasema anatumia lugha kali alafu mfano unaweka "mimi sio ngosha,mimi sio jiwe"

Hongera kwa akili level za juu comrade
 
Sawa boss....wew ndo mwenye akili ambae unasema anatumia lugha kali alafu mfano unaweka "mimi sio ngosha,mimi sio jiwe"

Hongera kwa akili level za juu comrade
Neno ‘halafu’ tu linakushinda kuandika!

Seuze kuelewa nilichokiandika??

‘Alafu’ ndo ushuzi gani huo?
 
Neno ‘halafu’ tu linakushinda kuandika!

Seuze kuelewa nilichokiandika??

‘Alafu’ ndo ushuzi gani huo?
Neno "sembuse" tu linakushinda utaweza kuelewa nilichokiandika...

Seuze ndo ushuzi gani? Naona tunajambiana mzee baba
 
Mimi hata siku moja siwezi kuwa mshabiki wa chama cha siasa. Mimi ni mshabiki wa ukweli, haki na uwazi. Hotuba anazotoa Lissu zina maneno ya kawaida kabisa na zinazunguzia ukweli, hali halisi na udhaifu mkubwa wa rais aliyepo sasa hivi. Ilivyo nchi yetu sasa hivi rais ni katiba, rais ni sheria, rais ni mahakama, rais ni polisi, rais ni kiongozi wa dini, rais ni kila kitu. Huwezi kuzungumzia udhaifu uliopo bila kumzunguzia na tena niseme Lissu anatumia maneno laini sana.
Umeahau pia Rais ni Yesu, Raisi ni kiranja wa Malaika
 
[QUOTE="Nyani Ngabu, post: 36436516, member: sijui ila ni neno la kisukuma
 
Neno "sembuse" tu linakushinda utaweza kuelewa nilichokiandika...

Seuze ndo ushuzi gani? Naona tunajambiana mzee baba
Unaona ulivyo lijinga!??

Hata lahaja za Kiswahili huzijui.

Haya, futa ujinga wako.

Seuze hiyo hapo.

5BF4B7BC-4426-46F6-B8BD-E944E44B904E.jpeg
 
Niliandika haya siku 10 zilizopita!

Nikatukanwa. Nikabezwa. Nikaambiwa huwa najifanya mjuaji sana. Eti huwa najiona niko juu.

Haya sasa, siku ya siku imefika.

Mara nyingi huwa ni vigumu sana ku-reason na watu watangulizao hisia.

Nina msemo wangu mmoja hivi: intellect over emotions.

Labda baada ya leo, ambao hawakunielewa, wataanza kunielewa sasa.....
 
Niliandika haya siku 10 zilizopita!

Nikatukanwa. Nikabezwa. Nikaambiwa huwa najifanya mjuaji sana. Eti huwa najiona niko juu.

Haya sasa, siku ya siku imefika.

Mara nyingi huwa ni vigumu sana ku-reason na watu watangulizao hisia.

Nina msemo wangu mmoja hivi: intellect over emotions.

Labda baada ya leo, ambao hawakunielewa, wataanza kunielewa sasa.....
Amekatwa?
 
Back
Top Bottom