mtz one
JF-Expert Member
- Dec 25, 2012
- 4,272
- 1,210
Umezodoka zodooo kisikio poo kama tumbiliNiliandika haya siku 10 zilizopita!
Nikatukanwa. Nikabezwa. Nikaambiwa huwa najifanya mjuaji sana. Eti huwa najiona niko juu.
Haya sasa, siku ya siku imefika.
Mara nyingi huwa ni vigumu sana ku-reason na watu watangulizao hisia.
Nina msemo wangu mmoja hivi: intellect over emotions.
Labda baada ya leo, ambao hawakunielewa, wataanza kunielewa sasa.....