kwa nini Wana IT msiongeze kipato?

kwa nini Wana IT msiongeze kipato?

tafakari kali

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2012
Posts
211
Reaction score
39
Wakuu na wataalamu wa maswala ya compyuter,hv hamjafanya utafiti na kugundua kuwa tupo mamia ya watu tunaoitaji kujua mambo ya IT sana?
Mfano mimi napenda sana kujua jinsi com zinavyowasiliana,kutengeneza progs,appsna mambo ya security.
Kwangu kujua mambo haya ni zaidi ya kuajiliwa.
Tupo wengi sana tunapenda kujua haya na mengineyo.
Kuna mambo mengi yalifanya tusiweze kusoma ktk system inayotakiwa ILA tunahitaji.
JIKUSANYENI WATAALAMU KADHAA CHANGENI MTAJI FUNGUENI KITUO KISHA ANZISHENI MASOMO.
Nawahakikishia turn up itakuwa kubwa mno na mtabolesha kipato sana.
Nawasihii tusaidieni nanyi muisaidie mifuko yenu kutuna ( ha ha ha )
 
Inategemea unataka kujua kwa kiwango gani. Kama unataka kuwa proffesional Ili ujue mambo yote hayo unahitaji kufanya course kamili ya diploma au bachalor. Ambapo kuna vyuo vingi tu vinatoa.

Kama unataka kujua tu kwa kujifurahisha na kuweza kupata idea basi hapa jf panatosha. Anzisha thread tu yenye specific area mfano computer networking. Watu watakuelimisha na watakupa link za articles na vitabu mbalimbali. Cha msingi usiwe mvivu wa kusoma. IT ina material mengi mtandaoni kuliko kitu chochote kile.
 
Inategemea unataka kujua kwa kiwango gani. Kama unataka kuwa proffesional Ili ujue mambo yote hayo unahitaji kufanya course kamili ya diploma au bachalor. Ambapo kuna vyuo vingi tu vinatoa.

Kama unataka kujua tu kwa kujifurahisha na kuweza kupata idea basi hapa jf panatosha. Anzisha thread tu yenye specific area mfano computer networking. Watu watakuelimisha na watakupa link za articles na vitabu mbalimbali. Cha msingi usiwe mvivu wa kusoma. IT ina material mengi mtandaoni kuliko kitu chochote kile.

Upo sahihi mkuu.
 
Ila kuna chuo kizuri kinatoa hizo course km mlimani college of professional studies mi mwenyewe nataraji kwenda hapo mwezi 9,kufanya dip km vp nikutumie wap site yao ujipatie application form?au unajifurahisha?
 
Ila kuna chuo kizuri kinatoa hizo course km mlimani college of professional studies mi mwenyewe nataraji kwenda hapo mwezi 9,kufanya dip km vp nikutumie wap site yao ujipatie application form?au unajifurahisha?
Nitumie mkuu nitashukuru sana
 
Web site...Home, na E-mail;info@mlimaniprofessional.com...cell phone,0657757161, 0782413070 au 0763637509
 
Ila kuna chuo kizuri kinatoa hizo course km mlimani college of professional studies mi mwenyewe nataraji kwenda hapo mwezi 9,kufanya dip km vp nikutumie wap site yao ujipatie application form?au unajifurahisha?


(Mliman College of Pro. Studies? kimesajiliwa na MAMLAKA ZA SERIKALI MFANO NACTE au wajisomea tu?
 
Sio idea mbaya, ila ndo hivyo mtaji na mda. Maana tatizo la hizi diploma/certificate/degree etc zimekaa ki kutafuta makaratasi zaidi hata kama unapenda komputer unaweza ukakuta unachukia masomo.

Nakushauri cheki Udacity.com na Coursera.org
 
Sio idea mbaya, ila ndo hivyo mtaji na mda. Maana tatizo la hizi diploma/certificate/degree etc zimekaa ki kutafuta makaratasi zaidi hata kama unapenda komputer unaweza ukakuta unachukia masomo.

Nakushauri cheki Udacity.com na Coursera.org
Ya mkuu nimekupata vizuri,ngoja nicheki hizo . Binafsi nataka tu kujua sana ila si kwa minajili ya kuajiliwa.
 
I hate this country :angry: kila kona ni ujanja ujanja tu hamna lolote.,,, wazo zuri lakini kuna vikwazo vingi. Sisi watanzania wenyewe hatutaki hii nchi ipige hatua., kwa mfano kuna project nlikua naifanya then nkawasiliana na mtu mmoja wa pale COSTECH ila alichonijibu :angry: na quote kidogo "what do expect me to do" yani agghhghghg basi tu.
 
I hate this country :angry: kila kona ni ujanja ujanja tu hamna lolote.,,, wazo zuri lakini kuna vikwazo vingi. Sisi watanzania wenyewe hatutaki hii nchi ipige hatua., kwa mfano kuna project nlikua naifanya then nkawasiliana na mtu mmoja wa pale COSTECH ila alichonijibu :angry: na quote kidogo "what do expect me to do" yani agghhghghg basi tu.
Good news is you can do it without costech!
 
Cha msingi usiwe mvivu wa kusoma. IT ina material mengi mtandaoni kuliko kitu chochote kile.
Of course, mtandao belongs to you.
nani ajaze kama sio ninyi kwanza!
 
Good news is you can do it without costech!

yeah but COSTECH iz there for TZ na hamna wanachofanya wanapewa hela nyingi lakini hamna chochote

naskia kuna jamaa pale buguruni alitengeneza helkopta yake wakampiga mikwara na costech + hao wengine cjui ndo TCRA sasa huyu mtu unadhani saiv yumo wapi????? ni kupoteza muda kinachoiharibu TZ ni SYSTEM
 
yeah but COSTECH iz there for TZ na hamna wanachofanya wanapewa hela nyingi lakini hamna chochote

naskia kuna jamaa pale buguruni alitengeneza helkopta yake wakampiga mikwara na costech + hao wengine cjui ndo TCRA sasa huyu mtu unadhani saiv yumo wapi????? ni kupoteza muda kinachoiharibu TZ ni SYSTEM

good news is, we can make our own "system" 🙂
Don't think am over optimistic, please!
 
I hate this country :angry: kila kona ni ujanja ujanja tu hamna lolote.,,, wazo zuri lakini kuna vikwazo vingi. Sisi watanzania wenyewe hatutaki hii nchi ipige hatua., kwa mfano kuna project nlikua naifanya then nkawasiliana na mtu mmoja wa pale COSTECH ila alichonijibu :angry: na quote kidogo "what do expect me to do" yani agghhghghg basi tu.

Kweli hayo mambo yapo sana bongo.
 
come to KINU and we discuss ur project..... if it concerns mobile or ha4rdw4re h4ckin
:coffee:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom