Quinine Mwitu
JF-Expert Member
- Oct 19, 2014
- 5,529
- 6,095
Wasalaam,
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kwa nini waafrika wengi mtu anapokuwa hawezi kuongea kiingereza huwa tuna muona kama si lolote si chochote,Kuna Kipindi nimewahi kufanya hizi kazi za utalii kwa hiyo niliweza kugundua mawili matatu juu ya lugha ya kiingereza
1.Mzungu hata ungeongea kiingereza brocken vipi hawezi kuhisi vibaya au kuacha kuongea na wewe hata kama huongei vizuri lugha husika yaani kiingereza,ila ataacha mawasiliano na wewe kama atakuwa amekuuliza kitu na ukamjibu isvyo sahihi
2.Wazungu wachache sana wanaoipa lugha ya kiingereza kipaumbele,kuna wazungu wnaweza kuwa kadhaa hata ishirini ila akawepo mmoja tuu(tour Leader) ndio anajua lugha tena kwa kuunga unga kwa ajili ya kuwasiliana na mwenyeji wao,na wao huwa wanaamini kwa kuwa lugha yetu si kiingerza si ajabu ukakuta wengi hatujui lugha husika
3.Ni wabongo tuu ndio tuna hukumu sana masuala ya lugha hasa kuwacheka wasio jua lugha vizuri,yaani Tanzania usomi ni pamoja na kujua kuongea kiingereza,kitu ambacho havina uhusianao kabisa
Je wakuu kwa nini hali hii inatokea sana nchini kwetu?
kama kichwa kinavyojieleza hapo juu,kwa nini waafrika wengi mtu anapokuwa hawezi kuongea kiingereza huwa tuna muona kama si lolote si chochote,Kuna Kipindi nimewahi kufanya hizi kazi za utalii kwa hiyo niliweza kugundua mawili matatu juu ya lugha ya kiingereza
1.Mzungu hata ungeongea kiingereza brocken vipi hawezi kuhisi vibaya au kuacha kuongea na wewe hata kama huongei vizuri lugha husika yaani kiingereza,ila ataacha mawasiliano na wewe kama atakuwa amekuuliza kitu na ukamjibu isvyo sahihi
2.Wazungu wachache sana wanaoipa lugha ya kiingereza kipaumbele,kuna wazungu wnaweza kuwa kadhaa hata ishirini ila akawepo mmoja tuu(tour Leader) ndio anajua lugha tena kwa kuunga unga kwa ajili ya kuwasiliana na mwenyeji wao,na wao huwa wanaamini kwa kuwa lugha yetu si kiingerza si ajabu ukakuta wengi hatujui lugha husika
3.Ni wabongo tuu ndio tuna hukumu sana masuala ya lugha hasa kuwacheka wasio jua lugha vizuri,yaani Tanzania usomi ni pamoja na kujua kuongea kiingereza,kitu ambacho havina uhusianao kabisa
Je wakuu kwa nini hali hii inatokea sana nchini kwetu?