Hao wanaowezesha Wanaume ndio wazuri, kwani wanajua maisha.
Lakini wengi wao hawalijui hilo wao wanataka kupewa RAHA pamoja na PESA; Kwa kweli wanatunyanyasa kabisa.
TUAMUE KUWEKA MGOMO WA KUHONGA SASA!!!!!
Mwanamke akila Chips na Soda / kinywaji, basi tosha kabisa hakuna kumpa kitu tena kama ni pesa ya sabuni kwani siku zote huwa haogi?????
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!