hoja kama za huyu urenga one ndizo hasa zinazopaswa kuitwa UFISADI!!!!!!!!!!
ndiye anayesababisha tuendelee kuishi na matatizo hapa SWEET HOME (TZ).
jamani tusidanganyane, kwa wale tuliobahatika kuvuka mipaka ya nchi zaidi ya moja katika dunia ya nchi zinazoitwa za ulimwengu wa kwanza, hivi nyie mmewahi kuona nchi nzuri, maishi kwa raha na bashasha kuliko tanzania? kama mmeishaiona niambieni nijaribu kuitembelea siku moja!
long live TZ Mungu ibariki TZ.........................
wasaliti na malimbukeni wote, na wote mnaolilia dual citizenship, mshindwe na mlegee...........................