kwani jina nalo linacheza mpira? hata waitwe jina gani au wavae nguo yenye bendera yoyote unayojua wewe ila kama timu ni mbovu kipigo kitabaki palepale.. kwa ujumla mpira wa miguu hauangalii jina wala jezi bali ni kiwango, hata ukicheza peku au kifua wazi lakini kama mnaweza kukipiga lazima mtafanikiwa, so my take: hizo changes unazozungumzia mkuu haziwezi kubadilisha matokeo ya hii timu.