Timu yetu ya Taifa ya Kilimanjaro Stars itaendelea kufungwa na kufanya vibaya ktk mashindano mbalimbali hadi tutakapo tambua haya yafuatayo:
1. Kwamba ile ni timu ya Tanganyika (Tanzania Bara) na rangi za bendera ya Tanganyika zilikuwa kijani, njano na nyeusi tu.
2. Kwamba kuendelea kutumia jezi zenye rangi ya blue ni mkosi kwa timu hiyo kwa kuwa Zanzibar haihusiani kabisa na hiyo timu.
3. Kwamba ni lazima ipewe jina linalo itambulisha na itofautishwe na Taifa Stars.
4. kwamba ni utumwa kuendelea kujifanya kusahau asili na historia
5. nk
mnasemaje wadau?
1. Kwamba ile ni timu ya Tanganyika (Tanzania Bara) na rangi za bendera ya Tanganyika zilikuwa kijani, njano na nyeusi tu.
2. Kwamba kuendelea kutumia jezi zenye rangi ya blue ni mkosi kwa timu hiyo kwa kuwa Zanzibar haihusiani kabisa na hiyo timu.
3. Kwamba ni lazima ipewe jina linalo itambulisha na itofautishwe na Taifa Stars.
4. kwamba ni utumwa kuendelea kujifanya kusahau asili na historia
5. nk
mnasemaje wadau?