Kwa Nini Siangalii Mechi za Man U...

Kwa Nini Siangalii Mechi za Man U...

Halafu hiyo ' logo' uliyoweka hapo sio yetu! Yetu ina shetani,wewe umemweka refarii! Hebu fanya editing hapo au ngoja nitatupia yetu uione,ila bwana mdogo mpira ni akili! Man U wana akili !
A%20S%20soccer.gif



  • A%20S%20soccer.gif


 
Yaaaaaaaani sababu kibaooooooo mtazusha mengi tu na bado, u'r just haters
 
Halafu hiyo ' logo' uliyoweka hapo sio yetu! Yetu ina shetani,wewe umemweka refarii! Hebu fanya editing hapo au ngoja nitatupia yetu uione,ila bwana mdogo mpira ni akili! Man U wana akili !
A%20S%20soccer.gif



  • A%20S%20soccer.gif
pekuapekua utaona ni Logo yenu ya mwakani mkuu
 
uki-judge halafu ukakosea huwa hadhi yako inashuka sana!unawezaje kusema wapenzi wa man utd ni kuanzia 2010?
basi nasahihisha wapenzi wengi wa Man U ni tangu pale ilipoanza kushinda.................namaanisha hapa kwamba kitakwimu wengi waliojiunga na Man U kwanza hawana historia ya kina ya huko nyuma na pili ni waoenzi ambao wamejiunga wakati huu ikiwa inashinda sana (luninga imesaidia pia kutujuza)na ndio maana wengi wao ni watoto (kwa hapa Tz)...........soka ni utani mkuu naona unachukulia siriasi.................
 
haters will never walk alone

U'r waliking alone n' thats why you hate, coz Man U is walking with everything leaving u European glory which beware will be eclipsed sooner than latter.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom