Kwa hiyo katiba ya Kenya ina ruhusu kiongozi kuchochea wafuasi wake kufanya uhalifu?ICC inahusika na makosa manne tu ambayo ni: uhalifu dhidi ya ubinadamu,uhalifu wa kivita,Maui ya kimbari na makosa ya uchokozi.Je,Raila katenda lipi hapo?Raila anachofanya kinaruhusiwa na katiba ya Kenya.