Kwa nini nilipie?

formulaar ni kwamba aliyemuanza mwenzie ndio anafadhili pambano!!!
 
jiamini kaka ama unachukua wake za watu?

Kujiamini najiamini sana, ila si katika hili, hata Kama ni demu wa kawaida na wala si mke ya mutu kwenye hili hapana.
Ni kama vile demu anakuambia muende akakupe gemu nyumbani kwake...., hapo kuna usalama kweli......?:A S 39:
 
Ndo hvyo kaka! Wanaume 2meumbwa kujisimamia kwa kla japo! Au unataka uwezeshwe ndo uweze?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…