Kwa nini ndoa za sasa hazidumu?

Kwa nini ndoa za sasa hazidumu?

Joined
Jan 17, 2013
Posts
28
Reaction score
3
Hivi jamani wadau naomba mnisaidie, kuna nini katika kizazi hiki cha dot com? Kwa nini ndoa hazidumu? Nini kifanyike ili ndoa zidumu?
 
Hivi jamani wadau naomba mnisaidie, kuna nini katika kizazi hiki cha dot com? Kwa nini ndoa hazidumu? Nini kifanyike ili ndoa zidumu?
Labda tueleze unataka zidumu vipi mkuu, mbona zinadumu fresh tu, sema life style kidogo imekuwa changamoto kulinganisha na zamani!
 
Hivi jamani wadau naomba mnisaidie, kuna nini katika kizazi hiki cha dot com? Kwa nini ndoa hazidumu? Nini kifanyike ili ndoa zidumu?


Nini kifanyike? Jibu lao ni hili. Kuwe na miti ya kuchuma pesa ili kila demu awe anamiliki gari kwa jasho lake mwenyewe, yaani kadri anavyochuma hizo pesa ndipo uwezo wa kununua gari alitakalo utamruhusu. Kwa kweli kwa hapa Bongo kwa sasa hakuna mapenzi bali ni Bongo majanga/movie. Kila mtu ni msanii wa mapenzi, utakuta unachumbia demu lakini bado tu analiwa nje na wauza unga hoping kwamba atapata jamaa mwenye uwezo zaidi shinda wewe ili aonekane kwa wenziwe kuwa kapata. Inasikitisha.
 
Back
Top Bottom