Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,910
- 6,504
Hapa imetokea misunderstanding.
Mwanachama( Nchimbi) amesema maneno ambayo hayakuwapendeza wanachama wengi(ne).
Anaitwa kwenye kikao cha nidhamu anakataa kwenda.
Anaondolewa kwenye wadhifa wake na pia anafukuzwa.
Hapa nadhani CCM inahitaji kureview jinsi inavyofanya vikao vya nidhamu.
Kwa sababu pale walihitaji tu kumpa warning.
Kumwambia,"we will be watching you,,one month,to see that you don't make such kinds of statements."
Halafu baada ya specified time ukiona Llie tatizo halijirudii,you remove the censure
Mwanachama( Nchimbi) amesema maneno ambayo hayakuwapendeza wanachama wengi(ne).
Anaitwa kwenye kikao cha nidhamu anakataa kwenda.
Anaondolewa kwenye wadhifa wake na pia anafukuzwa.
Hapa nadhani CCM inahitaji kureview jinsi inavyofanya vikao vya nidhamu.
Kwa sababu pale walihitaji tu kumpa warning.
Kumwambia,"we will be watching you,,one month,to see that you don't make such kinds of statements."
Halafu baada ya specified time ukiona Llie tatizo halijirudii,you remove the censure