Bwashee Machui
Member
- Jan 2, 2019
- 65
- 79
Habari mdau..Je na wewe umewahi kupitia kazia hii ya kupata fundi (Ujenzi) asiye na uaminifu yani mdokozi...??
Bila shaka zipo sababu 2 ambazo mimi binafsi naona ndio chanzo cha Mafundi wenzangu kukengeukiwa kwa mabosi zao:-
1) MAKUBALIANO/MAPATANO YA KAZI...hili ndio chanzo kikubwa cha mafundi wengi kupoteza uaminifu wao katika kazi zao.Mapatano yasiyokizi, yasiyoendana na kazi hii ni chanzo kikubwa cha Mafundi ujenzi kutokuwa na Uaminifu.. Hudokoa Cement,Nondo na vingine ili mradi tuu kujazia pengo analoliona kwenye kazi anayoitekeleza.... KUEPUKANA NA HILO TUESHIMU NA KUCHAGUA VILIVYO BORA 🪖🦺🔨⛏️
2) MAZOEA YA MTU KUTOKANA NA MWENENDO WA KAZI ZAKE ZA KILA SIKU.. hapa hakuna maelekezo mengi nazani kila mmoja anatambua tatizo ni mazoea..
KUEPUKANA NA YOTE HAYO TAMBUA NYUMBA NI MAISHA YAKO KWANI NI NDOTO YA KILA MMOJA NA TUNAIPIGANIA KWA JASHO...TUMIA GHARAMA ILI UJENGE KILICHO BORA....
@SHEBWA MASONRY CONTRACTION 🪖🦺🔨⛏️ WHATSAPP 0673817130
Bila shaka zipo sababu 2 ambazo mimi binafsi naona ndio chanzo cha Mafundi wenzangu kukengeukiwa kwa mabosi zao:-
1) MAKUBALIANO/MAPATANO YA KAZI...hili ndio chanzo kikubwa cha mafundi wengi kupoteza uaminifu wao katika kazi zao.Mapatano yasiyokizi, yasiyoendana na kazi hii ni chanzo kikubwa cha Mafundi ujenzi kutokuwa na Uaminifu.. Hudokoa Cement,Nondo na vingine ili mradi tuu kujazia pengo analoliona kwenye kazi anayoitekeleza.... KUEPUKANA NA HILO TUESHIMU NA KUCHAGUA VILIVYO BORA 🪖🦺🔨⛏️
2) MAZOEA YA MTU KUTOKANA NA MWENENDO WA KAZI ZAKE ZA KILA SIKU.. hapa hakuna maelekezo mengi nazani kila mmoja anatambua tatizo ni mazoea..
KUEPUKANA NA YOTE HAYO TAMBUA NYUMBA NI MAISHA YAKO KWANI NI NDOTO YA KILA MMOJA NA TUNAIPIGANIA KWA JASHO...TUMIA GHARAMA ILI UJENGE KILICHO BORA....
@SHEBWA MASONRY CONTRACTION 🪖🦺🔨⛏️ WHATSAPP 0673817130