ng'adi lawi
JF-Expert Member
- Sep 27, 2014
- 2,956
- 1,114
Hapa nchini kila mwaka wakati wa masika kuna mafuriko yanayoleta maafa hasa maeneo ya vijijini ambayo yyanakosa hata maji ya kunywa kipindi ccha kiangazi. Kwa nini kusiwe na mpango endelevu wa kujenga mabwawa makubwa ya kudumu ya kuvuna maji.
Nchini Marekani kwenye majimbo yenye ukame kama Nevada, Colorado, oklahama wana mabwawa ambayo huhifadhi maji ambayo hutumika majumbani hata mvua isiponyeshesha. Mabwawa ninayozungumzia ni ya zege ambayo yanaweza kuunganishwa mabomba na siyo haya ya matope.
Serikali inaweza kujenga kwa awamu kwa kila kata kame.
Nchini Marekani kwenye majimbo yenye ukame kama Nevada, Colorado, oklahama wana mabwawa ambayo huhifadhi maji ambayo hutumika majumbani hata mvua isiponyeshesha. Mabwawa ninayozungumzia ni ya zege ambayo yanaweza kuunganishwa mabomba na siyo haya ya matope.
Serikali inaweza kujenga kwa awamu kwa kila kata kame.