Kwa nini Katibu wa Wizara hawajawajibishwa?

mwanawao

JF-Expert Member
Aug 18, 2010
3,142
5,634
Wadau ninavyojua Katibu wa Wizara mbalilmbali ndo watendaji wakuu wa wizara. Policy yoyote inayokuwepo kwenye wizara wao ndo watendaji wa wakuu wa kuisimamia.

Kama Operation tokomeza imefanyika chini ya wizara zao na kuwang'oa mawaziri wa hizo wizara, Nashauri na hao makatibu wa hizo wizara wawajibishwe kwa kushindwa kusimamia majukumu yao ipasavyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…