Yaani we acha hii nchi imejaa madudu kutoka kwa Serikali yetu hadi aibu,ukiwaambia kwamba wao ni dhaifu wanalalama. Spika yule si spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa TZ ni spika wa bunge la CCM na hakika kabla hajaingia pale anaambiwa leo hakikisha A,B,C,D na si vinginevyo!