Kwa nini hutokea hivi!?

bwii

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2014
Posts
1,432
Reaction score
2,679
Salaam wandugu!

Kuna kitu mimi huwa kinantokea kila mara(karibu mara 5 kwa wiki).

Ni hivi huwa mara nyingi inapofika usiku kuna muda nkiangalia saa nakuta ni muda ule ule,yaani kama ni saa tatu kamili bas ni hivo hivo kila siku.

Kiukweli sina ratiba maalum kufanya kitu hikohiko inapofika wakat fulani.ila ninaweza kuwa nmelala bahat nikishtuka naangalia saa nakuta ni muda uleule ambao niliangalia saa siku ya/za nyuma yake lakin katka mazingira na shughuli tofaut tofauti.

Hii imetokea kwa muda wa miaka zaid ya minne sasa.mwanzoni niliona ni kitu ya kawaida ila kwa sasa nakua na wasiwasi.naamini humu kuna wajuvi wa mambo mnaweza kunisaidia kwa hili.


Je! ni hali ya kawaida au kuna kitu ambacho kiko nyuma ya pazia?
 
kuna mawili either we mwenyew umeitwist akil yako kuona hivyo au kuna kitu ambacho ni spiritual
 
Ni tatizo ambalo liko kwenye ufahamu sense ya sita ni imaginations ambazo zimejijenga taratibu hadi kuja kujenga taswira halisi kwenye ubongo, hivyo katika utendaji wa kawaida wa akili kila inapogonga hapo hugota na ni katika kipindi ambacho umeangalia hiyo SAA, mara nyingi huchukua sekunde kadha kabla ule mkwamo haujsondoka na kuona kitu katika uhalisia wake

Jaribu kuonana na madktari bingwa wa magonjwa ya ufahamu
 
Jifunze habari ya ousconscious e and unconscious mind
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…