Kwa nini hauolewi?

Hata kuzaa pia bado ni majaliwa wala si kama udhaniavyo ingawa nakutakia kila la heri Mungu akubariki uzae watoto wazuri
 
Kila kitu nimipango ya mungu...
It's like saying mbna ni mwanaume anaejituma, mkweli, anaelimu lakini hapati kazi!?
Kila jambo linakuja kwa wakati wake. Mungu akisema bado huezi fanya lolote na akisema ndio basi hakuna wa kumpinga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…