Kwa nini Democratic Party wanawaogopa Republicans

Natalia

JF-Expert Member
Jul 3, 2011
4,324
1,892
Walisema George bush not legitimate na sasa Trump .Walimpeleka bush Supreme Court .Black caucus member wakiongozwa na Lewis hawatakwenda inaguration ya Bush sasa Trump .Hivi kwa nini Democratic Party wanakuwa wagumu mnoo kuondoka madaraka ni?Clintons wapo mpaka Leo bush wote wamestaafu .Republican wakiondoka madarakani wanaondoka na democratic watang'ang'ania wewe.why
 
Republicans angalau wana kitu kinachoitwa HOFU YA MUNGU kuliko hao Democrats ambao kwao ushoga, usenge, kubadili jinsia, utoaji mimba, na uchafu mwingine wa aina hiyo ndio sera yao kuu.
 
Republicans angalau wana kitu kinachoitwa HOFU YA MUNGU kuliko hao Democrats ambao kwao ushoga, usenge, kubadili jinsia, utoaji mimba, na uchafu mwingine wa aina hiyo ndio sera yao kuu.
You're dead wrong aisee! Republican nao ndio walewale, tatizo lao ni wanafiki wakubwa. Mambo wanayoyafanya nyuma ya pazia ni sawa tu na Democratic, hakuna mwenye nafuu hapo!
 
Back
Top Bottom