Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Kwanza kabisa mimi siyo mfuasi wa CCM lakini nauliza tu: Kwa nini vigogo au makada wa CCM wanaoonekana wakorofi hawafukuzwi mara moja kutoa chamani -- wanasubiri hadi waumbuliwe kwa wenyewe kuamua kuhama? Kwa nini wakisha kihama chama hicho ndiyo viongozi wa CCM wanakuja na kauli za "alikuwa mzigo tu, alishapewa karipio lakini hasikii, mkorofi etc etc"?
Natoa mfano: Leo hii Mr 6 akiamua kuhama CCM na kuingia CDM (highly improbable, but quite possible) akina Mukama watakuja na kauli kama hizo ilizozitaja. Kwa nini CCM hawataki kuwa-preempt 'wakorofi wao?
Natoa mfano: Leo hii Mr 6 akiamua kuhama CCM na kuingia CDM (highly improbable, but quite possible) akina Mukama watakuja na kauli kama hizo ilizozitaja. Kwa nini CCM hawataki kuwa-preempt 'wakorofi wao?