Hahaha Veda kwani we mgeni hapa Tanzania, ina maana kweli kweli kabisa hujui wamiliki wa haya magazeti, kaka kuna msemo unasema " hata kama hujui kusoma , basi tazama picha tu unaweza elewa nini kinaendelea". Magazeti uyasemayo yalianzishwa kwa maslahi ya Ole EL, RZ, AC, NK na their allies!