Anselm
JF-Expert Member
- Nov 16, 2010
- 1,710
- 291
....napenda kuchukua nafasi hii kuwakaribisha nyote katika uwanja wa Taifa leo kushuhudia soka ambalo halijawahi kushuhudiwa toka kocha wa zamani wa team ya Taifa Marcio Maximo amalize kipindi chake cha kufundisha soka hapa nchini, katika mchezo ambao Yanga wanatarajia kuanza ligi rasmi.
Nyote mnakaribishwa.
Nyote mnakaribishwa.