Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,022
- 144,380
Nyie endeleeni kumsakama mtaona atakavyozawadiwa.Kwani jamaa si alishaga sema siku nyingi kuwa hana njaa
Halafu uzuri si msukuma mwenzakeNyie endeleeni kumsakama mtaona atakavyozawadiwa.
Baada ya msiba kutokea na mwandishi huyu kujitokeza na kuonyesha huruma(inayotiliwa shaka),watu wengi wamemshambulia kwa maneno ya kila aina ikiwemo kuambiwa anajipendekeza/unatafuta uteuzi.
Mimi binafsi sina imani na mwandishi huyu na hii ni kutokana na aina ya uandishi wake unaotia shaka hivyo naungana na wale wote wanaompinga.
Hata hivyo,naomba niwaambie tu,kwa kitendo cha kumshambulia na kumwambia anatafuta uteuzi,Bwana yule ataamua kumpa "ulaji "ili kuwakomoa wale wote mnaomshambulia maana hii ndio kawaida ya Bwana yule kama mmemsoma vizuri.
Naamini hata Mwandishi huyu anajua kuwa kwa kumshambulia kwake,ni sawa na kumpiga chura teke.
Binafsi namalizia kwa kusema hata akizawadiwa cheo,ukweli anaujua mwenyewe na kama alifanya vile kwa faida zake binafsi(kwa makusudi maalumu) basi anayosemwa yanastahili na yatabaki kuwa ya kweli hata akipewa ulaji.
Time will tell.
harufu ya ukabila hapaHalafu uzuri si msukuma mwenzake
Nchi za kusini mwa jangwa la sahara......
zimefanyaje mkuuNchi za kusini mwa jangwa la sahara......
Eeh halufu ya wachunga ng'ombeharufu ya ukabila hapa
alafu ng'ombe aliyenyeshewa mvuaEeh halufu ya wachunga ng'ombe
Hilo liandishi la kisukuma ambaye jina lake ni njaa ni fala sana. Yeye ndo alivujisha makala za Erick . Nalitafuta nilitoe meno.Baada ya msiba kutokea na mwandishi huyu kujitokeza na kuonyesha huruma(inayotiliwa shaka),watu wengi wamemshambulia kwa maneno ya kila aina ikiwemo kuambiwa anajipendekeza/anatafuta uteuzi,n.k
Mimi binafsi sina imani na mwandishi huyu na hii ni kutokana na aina ya uandishi wake unaotia shaka hivyo naungana na wale wote wanaompinga.
Hata hivyo,naomba niwaambie tu,kwa kitendo cha kumshambulia na kumwambia anatafuta uteuzi,Bwana yule ataamua kumpa "ulaji "ili kuwakomoa wale wote mnaomshambulia maana hii ndio kawaida ya Bwana yule kama mmemsoma vizuri.
Naamini hata Mwandishi huyu anajua kuwa kwa kumshambulia kwake,ni sawa na kumpiga chura teke.
Binafsi namalizia kwa kusema hata akizawadiwa cheo,ukweli anaujua mwenyewe na kama alifanya vile kwa faida zake binafsi(kwa makusudi maalumu), basi anayosemwa yanastahili na yatabaki kuwa ya kweli hata akipewa ulaji.
Time will tell.
Ttzo lake kigeugeu mara moto mara baridi pia lile swali lilimuuzi jamaa.Kabila tu ni cv tosha,labda aongeze bidii ya kujitoa ufahamu atakumbukwaAaah waapi! Pascal Mayalla ana damu ya kunguni. Kama angekuwa wa kuteuliwa, angeshateuliwa siku nyingi hata kabla ya kina Jelly Mlo...
Sijaelewa hapa ndugu. Nimegeuka vipi mie?Ttzo lako kigeugeu pia lile swali lilimuuzi jamaa
Sorry type error means lakeSijaelewa hapa ndugu. Nimegeuka vipi mie?