Kwa mwenye ufahamu na Course ya Optometry

Kwa mwenye ufahamu na Course ya Optometry

sniperl123098

Member
Joined
Sep 19, 2016
Posts
25
Reaction score
6
Optometry Kwa anaeijua kozi hii na kazi zake na chuo kinachotoa nilisikia KCMC inatoa.

Vipi wakuu inafaa kusoma kuna mdogo wangu anataka kusoma hatojutia?
 
Wale wenye matatizo ya macho unawapima macho halafu unawachongea miwan kiajira ni nzur akasome
 
Kibongo bongo hii koz ajira ni mahospitalini tu ama VP au kunasehem zingine
 
Back
Top Bottom