omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Chanjo ilitolewa duniani, na kuna baadhi ya viongozi mashuhuri duniani tuliona hadharani wakichanjwa kama kuonyesha umuhimu wa chanjo na uwajibikaji pia.
Ninavyofahamu mimi layman katika masuala ya afya ni kwamba chanjo ni kinga dhidi ya tatizo husika, ikiwa na maana ukichanjwa unakua umepata kinga kamili.
Swali: Joe Biden Rais wa USA, kachanjwa kinga dhidi ya covid-19, na inasemekana kachanjwa mara mbili, japo ninavyofahamu mimi kachanjwa mara moja. Kwanini yeye na mkewe bado wanakomaa na barakoa?
Je, si ni kuonyesha kwamba hana hakika na chanjo aliyochanjwa? Kama anahakika kwanini avae barakoa?
Kwasababu alitakiwa aachane na barakoa kwa vile tayari kachanjwa "which means he's is free against covid 19" na ndipo angefanya tuamini chanjo hiyo ni salama?
Swali la pili, jana Chama Omary Matata mtangazaji wa BBC alichanjwa kwa mujibu wa mahojiano aliyofanya na Salim Kikeke wa BBC.
Alisema alipofika kituo cha chanjo aliulizwa aina ya chanjo, sizikumbuki majina kiufasaha akachagua moja wapo. Kwanini aulizwe ipi anapenda wakati zote dhamira yake ni moja na zimethibitshwa WHO?
Swali la tatu, kwanini baada ya Chama Omary Matata kuchanjwa aliuliza side effects za chanjo hiyo aliambiwa kwamba anaweza kuhisi homa akaambiwa akijisikia hivyo ameze Panadol.
Kuna mjuzi hapa atusaidie tupate elimu?
Swali la nne mkurugenzi Mkuu wa WHO nilimnukuu akisema chanjo hiyo si hisani, alimaanisha nini?
Nimalizie kwa kusema au ndio maana Rais Magufuli alitutahadhalisha na akasema kuna mengi anayajua sisi hatuyajui?
Ninavyofahamu mimi layman katika masuala ya afya ni kwamba chanjo ni kinga dhidi ya tatizo husika, ikiwa na maana ukichanjwa unakua umepata kinga kamili.
Swali: Joe Biden Rais wa USA, kachanjwa kinga dhidi ya covid-19, na inasemekana kachanjwa mara mbili, japo ninavyofahamu mimi kachanjwa mara moja. Kwanini yeye na mkewe bado wanakomaa na barakoa?
Je, si ni kuonyesha kwamba hana hakika na chanjo aliyochanjwa? Kama anahakika kwanini avae barakoa?
Kwasababu alitakiwa aachane na barakoa kwa vile tayari kachanjwa "which means he's is free against covid 19" na ndipo angefanya tuamini chanjo hiyo ni salama?
Swali la pili, jana Chama Omary Matata mtangazaji wa BBC alichanjwa kwa mujibu wa mahojiano aliyofanya na Salim Kikeke wa BBC.
Alisema alipofika kituo cha chanjo aliulizwa aina ya chanjo, sizikumbuki majina kiufasaha akachagua moja wapo. Kwanini aulizwe ipi anapenda wakati zote dhamira yake ni moja na zimethibitshwa WHO?
Swali la tatu, kwanini baada ya Chama Omary Matata kuchanjwa aliuliza side effects za chanjo hiyo aliambiwa kwamba anaweza kuhisi homa akaambiwa akijisikia hivyo ameze Panadol.
Kuna mjuzi hapa atusaidie tupate elimu?
Swali la nne mkurugenzi Mkuu wa WHO nilimnukuu akisema chanjo hiyo si hisani, alimaanisha nini?
Nimalizie kwa kusema au ndio maana Rais Magufuli alitutahadhalisha na akasema kuna mengi anayajua sisi hatuyajui?