chizcom JF-Expert Member Jul 31, 2016 7,581 15,722 Sep 10, 2021 #1 Yani tumekuwa nyuma kweli kwenye mifumo ya kupokea pesa. jana nimepokea pesa kwenye skrill kwa kazi fulani yani kuja kuingia benk,masheria kibao mpaka pesa ziingie benk. mbona kipindi cha zamani ilikuwa masaa 24 na kwa kutumia withdrawal kwa visa au mastercard. hii inawapotezea pesa nyingi za kigeni kwenye digital. nimeshindwa kusafiri maana sina huakika kama itaingia mda gani
Yani tumekuwa nyuma kweli kwenye mifumo ya kupokea pesa. jana nimepokea pesa kwenye skrill kwa kazi fulani yani kuja kuingia benk,masheria kibao mpaka pesa ziingie benk. mbona kipindi cha zamani ilikuwa masaa 24 na kwa kutumia withdrawal kwa visa au mastercard. hii inawapotezea pesa nyingi za kigeni kwenye digital. nimeshindwa kusafiri maana sina huakika kama itaingia mda gani
wa kupuliza JF-Expert Member Jun 15, 2012 15,226 37,576 Sep 10, 2021 #3 Paypal imeshawashinda kabisa. Cryptocurrency ndio mwafaa kabisa.