kwa mswati ni balaa.

hivi huko SWAZI KILA MWAKA NDO MABO YAO ETI? DAH HUYU MSWATI NOMA INABIDI NAMI NIOMBE SKOLASHIP NIENDE ATA KWENYE VYUO VYAO VYA KATA NIKAFANYE RESEACH NSHACHOKA NA MAUSED YA HAPA BONGO. HUKO NASIKIA WATOTO NI BRAND NEW HUNA HAJA YA KUFANYA OVERALL ATA KUREKEBISHA MASTERCYLINDER,CLUTCH PLATE NA PRESSURE PLATE.
HUKU BONGO VITU AUTOMATIC MNO.:A S 12::A S 12:
 
They are so fresh and clean!
Sioni hata wanja hapo; vitu natural! Dah!
Ah, mama yoyoo kumbe unanicheki...amm ...eer ah ni picha tu za JEIEFU!
 
Hawajui ndesa hao!!

 
aiseeeeeeeeeeeeeeeeee! jiulize ingekua Bongo???
 
swazi people are real happy with their culture and traditions. it is the only country remain in Africa where norm and values have place in the heart of people. hivi tuna mabinti ambao bado pure and natural kama hawa?
sijui nifanyeje nipate kazi serekalini halafu nipangwe ubalozi wa kwa mswati.
 
roho inaniuma kuzaliwa kizazi hichi ambacho hizi mila tumeziacha..hv hatuwezi kurudisha huu utamaduni?
 
Mkiwa mnafurahia picha from SWAZILAND pia mkumbuke kuwa;

"The African country with the highest HIV prevalence rate is Swaziland ... The infection rate in the country is unprecedented and the highest in the world at 26.1% of adults[SUP][5][/SUP] and over 50% of adults in their 20s.[SUP][4]"[/SUP]
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…