Kwa moromboo arusha.....

Wanaume wa Arusha baada ya miaka kama 5-6 ijayo watakuwa wanatembelea wheelchair kwaajili ya kula nyama za mbuzi kutokana na ugonjwa wa GAUTi miguu/mikono/vidole kuvimba na kujaa maji! inabidi serikali ifanye jitahada ya kuwaokoa!

hivi hizo GAUTI....huwa zinashika wanaume tu?......nimesema niulize kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…