wazungu wa scandinavian countries ni wazungu blond, miili ya kitimoto na inanenepeana sana na marefu balaa. full kunuka majasho ya mapaja kwa wale anti-vibonge.Mkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
Maisha yapo Tena mazuri sanatunashukuru Per Diem kwa michango yako ya kutupa mwanga wa uko dunia lakn unatutisha asee mlo mmoja utumie 60000 kwa kilo ya nyama kuna maisha apo??
Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
🤣🤣Wapo, sawa tu soko lipo.
Gharama za maisha huendana na kipato cha sehemu husika,usiogope mkuu.
Kuna ubaguzi sana eeh?? Kwanini iwe ngumu kuwapata wazungu na wazungu wa kiume nao hawali waafrica??Wapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
Utakuwa ni msukuma wewe.hapana mkuu..siwezi kushindia mikate mimi, hata Kwa bunduki 100 sitoki Africa hasa nyumbani (sweet Tanzania).
Wadhungu wanaopenda kuoa waafrica wapo?Maisha yapo Tena mazuri sana
Inside10 usichek..Mkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu
Hahhahaa hapa nimesimama.sehemu nimecheka had sina ngv jamamUtakuwa ni msukuma wewe.
dahkatika pitapita zangu zote majuu, nilichowaapreciate na kuona wametupita mbali sana na hatutakuja kuwakuta ni tabia ya usafi, kila kitu kisafi kuanzia mazingira ya nje, makazi, vyakula, usafiri, magari yote mapya, watu wasafi, hukuti nzi hata sehemu moja utatafuta inzi hutamkuta, hadi hewa safi. ukifika kule hata ukila chakula cha kimasikini tu ile kukaa miezi miwili mitatu hadi ngozi inabadilika unanawiri, yaani Mungu kawabariki upako wa maisha mazuri hadi ya hewa inakunawirisha hata kama hali yako ya chini tofauti na bongo mtu ana mihela lakini kakomaa utafikiri anachuna ngozi za watu, ukitoka huko kushuka tu uwanja wa dsm, kuanzia harufu ni tofauti kabisa, mazingira tofauti, watu tofauti hafuru ya umasikini imetapakaa kila mahali. Mungu atusaidie waafrica.
WapoWadhungu wanaopenda kuoa waafrica wapo?
wazungu ndo dili hao,ukipiga piga akipata ujauzito ni vyema zaidi,hao wakina asha ndala ndefu unawaacha huku huku Bongo,sasa nifike mbele alafu nimsukumie moto Mkenya hapo sitakua seriousWapo Africans wengi, unakula mkenya, akizubaa unakula mnaija hivyohivyo wazungu ni ngumu labda wale wa kujiuza
Sema ni wewe unatafuta sokoMkuu...wanawake wenye miili yao huko vipi? Yaan wenye kiuno kilichojikata wanasoko?? Makalio makubwa wana thoko? Nimuunganishe shogangu