Rizzy2020
Member
- Jul 22, 2021
- 22
- 20
Hivi ni mimi mwenyewe huwa natongozwa na mashoga au maana haipiti wiki sijatongozwa
Nilipoanza kupiga gym kipindi cha nyuma walikua wananitongoza na sio wengi sasa hivi ndo wanazidi kuongezeka huko facebook ndo usiseme na instagram
Nikienda club wananitongoza tena anakuja mtu na heshima zake na ambaye ni mgumu kujua kama wahuni wanampiga paipu. Wengine ni vigogo na watu maarufu anakuambia atakupa na pesa kabisa
Mtaani au barabarani mtu anakufata kama anauliza kitu au anajifanya kukufananisha ukimpa namba anaanza kukutumia jumbe za kukutaka mwingine atazunguka zunguka ukiona mwanaume mwenzako anakuuliza kama shemu yupo au kukuhoji kwanini upo single juwa kuna tatizo hapo
Hivi kwako mdau wa jamiiforum ilikuaje ushawahi kutongozwa na shoga?Na unachomoka vipi hapo maana hawa jamaa ni ving'ang'anizi kinoma
Nilipoanza kupiga gym kipindi cha nyuma walikua wananitongoza na sio wengi sasa hivi ndo wanazidi kuongezeka huko facebook ndo usiseme na instagram
Nikienda club wananitongoza tena anakuja mtu na heshima zake na ambaye ni mgumu kujua kama wahuni wanampiga paipu. Wengine ni vigogo na watu maarufu anakuambia atakupa na pesa kabisa
Mtaani au barabarani mtu anakufata kama anauliza kitu au anajifanya kukufananisha ukimpa namba anaanza kukutumia jumbe za kukutaka mwingine atazunguka zunguka ukiona mwanaume mwenzako anakuuliza kama shemu yupo au kukuhoji kwanini upo single juwa kuna tatizo hapo
Hivi kwako mdau wa jamiiforum ilikuaje ushawahi kutongozwa na shoga?Na unachomoka vipi hapo maana hawa jamaa ni ving'ang'anizi kinoma