Kwa milioni 4 Naweza kupata kiwanja?

Kwa milioni 4 Naweza kupata kiwanja?

king90

JF-Expert Member
Joined
Apr 18, 2014
Posts
368
Reaction score
222
Wakuu habari! Kwa 4M naweza kupata kiwanja maeneo ya Goba
 
Na mm Nnatafuta Kiwanja Goba. 20x20 au 20X25.

Asiwe Dalali(Kutoka kwa Mwenye Mali Mwenyewe)

Budget yangu ni Sawa na iliyotajwa hapo Juu. 4M.

Contacts: 0715240140
 
Ndugu zangu,

Kwa jinsi ambavyo mmeweka matangazo yenu hamna tofauti na yule mshamba mwenye TZS 40,000 ambae ameenda nayo dukani na badala atafute nguo anayoipenda ndio aanze ku-burgain, yeye ameanza tu na kusema "ninataka zile jeans za elfu arobaini".

Cha kufanya, nenda Goba, tafuta kiwanja ukipendacho, zungumza ufikie makubaliano kisha ufanye biashara. Tatizo wengi mmekariri kuwa viwanja (pamoja na kwamba vipo eneo moja) basi vyote vipo sawa. La hasha, viwanja vina tofautiana thamani hata kama vipo eneo hilo hilo. Hivyo kuepushwa kuingizwa mjini, nenda field kijana.
 
Ndugu zangu,

Kwa jinsi ambavyo mmeweka matangazo yenu hamna tofauti na yule mshamba mwenye TZS 40,000 ambae ameenda nayo dukani na badala atafute nguo anayoipenda ndio aanze ku-burgain, yeye ameanza tu na kusema "ninataka zile jeans za elfu arobaini".

Cha kufanya, nenda Goba, tafuta kiwanja ukipendacho, zungumza ufikie makubaliano kisha ufanye biashara. Tatizo wengi mmekariri kuwa viwanja (pamoja na kwamba vipo eneo moja) basi vyote vipo sawa. La hasha, viwanja vina tofautiana thamani hata kama vipo eneo hilo hilo. Hivyo kuepushwa kuingizwa mjini, nenda field kijana.


Kaka Umeeleweka Vema.
Wenye navyo tunaomba mtu contact ili tuweze kufanya Biashara.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom