D dagii JF-Expert Member Dec 23, 2013 4,961 3,712 Mar 23, 2017 #21 Me ndio hata siangaliagi ligi pori hizo
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,016 Mar 24, 2017 #22 herikipaji said: Soka la bongo ni upuuzi mtupu, yani hata huko Arusha nao ni wapuuzi kiasi hiki kutosupport timu yao! Mbeya hawanaga ujinga kama huu. Click to expand... kumbe Mbeya haiko Bongo, aisee.
herikipaji said: Soka la bongo ni upuuzi mtupu, yani hata huko Arusha nao ni wapuuzi kiasi hiki kutosupport timu yao! Mbeya hawanaga ujinga kama huu. Click to expand... kumbe Mbeya haiko Bongo, aisee.
Nahonyo JF-Expert Member Dec 28, 2012 5,374 5,016 Mar 24, 2017 #23 OSOKONI said: Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi Click to expand... OSOKONI said: Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi Click to expand... Hii nayo ni moja ya maajabu ya ulimwengu, mtu anafuatilia mada ambazo kwake ni upuuzi, anaacha kuchangia mada zisizo za kipuuzi. nae awezi kuepuka kuwa mpuuzi.
OSOKONI said: Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi Click to expand... OSOKONI said: Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi Click to expand... Hii nayo ni moja ya maajabu ya ulimwengu, mtu anafuatilia mada ambazo kwake ni upuuzi, anaacha kuchangia mada zisizo za kipuuzi. nae awezi kuepuka kuwa mpuuzi.