Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kumbe Mbeya haiko Bongo, aisee.Soka la bongo ni upuuzi mtupu, yani hata huko Arusha nao ni wapuuzi kiasi hiki kutosupport timu yao!
Mbeya hawanaga ujinga kama huu.
Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi
Hii nayo ni moja ya maajabu ya ulimwengu, mtu anafuatilia mada ambazo kwake ni upuuzi, anaacha kuchangia mada zisizo za kipuuzi. nae awezi kuepuka kuwa mpuuzi.Kama soka bongo ni upuuzi hata wewe unayefuatilia na kutoa comment ni mpuuzi zaidi