Kwa hapo una Gepg (D) na Kisw (D) na Engl(C) , NIT marketing wanataka
"Basic Technician Certificate in Marketing and Public Relations Holder of certificate of secondary education examination (CSEE) with four passes "D" in non religious subjects OR Holder of certificate of secondary education examination (CSEE) with two passes "D" in non religious subjects and Holder of National Vocation Award (NVA) level III".
Kwa hiyo huna ufaulu wa masomo manne kiwango cha angalao D. Unachoweza kufanya ni kusoma kama masomo mengine mawili (mfano hesabu na history) ukipata D2 pamoja na pass zako 3 unakuwa na passi 5-unaomba hiyo certificate ya marketing au uende VETA uchukue masomo ya marketing (Una ufaulu wa masomo 3 wao wanataka 2 lakini uwe na cheti cha form4) ukifaulu huko VETA wanakupa NVA level III ambayo inakuwezesha kudahiliwa NIT.
Lakini kote huko lazima uwe na cheti cha F4.