Kwa mara ya kwanza Tanzania imeweza kuweka betri kwenye moyo wa mtoto, Asante Kikwete

kalulukalunde

JF-Expert Member
May 27, 2016
1,056
1,083
July 15 2016 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili‘ imeweza kufanya matibabu ya kumuwekea mgonjwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi zake kwa mtoto wa miaka mitano, kifaa hicho kinaitwa pacemaker operation hii ni ya kwanza kwa Tanzania kufanyika kwa mtoto.

Mtoto huyu alikuwa na ugonjwa unaoitwa concenital heart block uliokuwa unasababisha mapigo ya moyo kuwa chini sana na kumsababisha kushindwa kumudu maisha ya kawaida kwa umri wake.

Uongozi wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili’ wamewataka watanzania watambue uwepo wa huduma hiyo katika taasisi na kwamba kwa wale ambao wanashida juu ya mapigo ya moyo, wanaweza kwenda kwenye taasisi na kufuatilia matibabu.

IMG-20160715-WA0062.jpg

.

IMG-20160715-WA0061.jpg

.

IMG-20160715-WA0059.jpg

.

IMG-20160715-WA0063.jpg

.

IMG-20160715-WA0064.jpg

.

IMG-20160715-WA0065.jpg

.

IMG-20160715-WA0066.jpg

.

IMG-20160715-WA0060.jpg

.

IMG-20160715-WA0067.jpg

.

IMG-20160715-WA0068.jpg


Maoni yangu

JK AMEFANYA MAKUBWA SANA KATIKA HILI LA TAASISI YA MOYO, NAUNGANA NA RAIS MAGUFULI, JK APUMZIKE KWA RAHA ZAKE AMEFANYA KAZI NZURI MUNGU AMPE AFYA NA MAISHA MAREFU
 
Kama tulimsifu Nyerere kuwa kampiga Amini ( wakati hakurusha risasi hata moja) basi hatuna budi kuwasifu viongozi wenfine kwa kutimiza majukumu yao vyema. Hongera sana JK kwa kazi nzuri ya Taasisi ya moyo Muhimbili
 
Jk atakumbukwa sana nchi hii.kafanya mengi makubwa ndani na nje ya Tanzania pale Rwanda yule kagame alikuwa halali usingizi baada ya kubaini mbinu zake chafu za kuhatarisha jamani ya wakongomani.
 
July 15 2016 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili‘ imeweza kufanya matibabu ya kumuwekea mgonjwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi zake kwa mtoto wa miaka mitano, kifaa hicho kinaitwa pacemaker operation hii ni ya kwanza kwa Tanzania kufanyika kwa mtoto.

Mtoto huyu alikuwa na ugonjwa unaoitwa concenital heart block uliokuwa unasababisha mapigo ya moyo kuwa chini sana na kumsababisha kushindwa kumudu maisha ya kawaida kwa umri wake.

Uongozi wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili’ wamewataka watanzania watambue uwepo wa huduma hiyo katika taasisi na kwamba kwa wale ambao wanashida juu ya mapigo ya moyo, wanaweza kwenda kwenye taasisi na kufuatilia matibabu.

IMG-20160715-WA0062.jpg

.

IMG-20160715-WA0061.jpg

.

IMG-20160715-WA0059.jpg

.

IMG-20160715-WA0063.jpg

.

IMG-20160715-WA0064.jpg

.

IMG-20160715-WA0065.jpg

.

IMG-20160715-WA0066.jpg

.

IMG-20160715-WA0060.jpg

.

IMG-20160715-WA0067.jpg

.

IMG-20160715-WA0068.jpg


Maoni yangu

JK AMEFANYA MAKUBWA SANA KATIKA HILI LA TAASISI YA MOYO, NAUNGANA NA RAIS MAGUFULI, JK APUMZIKE KWA RAHA ZAKE AMEFANYA KAZI NZURI MUNGU AMPE AFYA NA MAISHA MAREFU
Amehusikaje katika kuweka moyo kwa mtoto? Some people bwana?!
 
Huwezi kumsifia JK tanzania hii halafu watu wakakuunga mkono, lakini ukweli utabaki palepale JK was the best president aliyewahi kutokea ukifananisha na awamu zote tatu zilizopita, labda tumpe muda JPM kwa kasi yake anaweza kuwe best zaidi ya wote..
Jk ameacha kitu fulani ambacho kwa namna moja au nyingine JPM akiongeza nguvu kidogo na umakini tutajinasua kwenye tope.
 
Huwezi kumsifia JK tanzania hii halafu watu wakakuunga mkono, lakini ukweli utabaki palepale JK was the best president aliyewahi kutokea ukifananisha na awamu zote tatu zilizopita, labda tumpe muda JPM kwa kasi yake anaweza kuwe best zaidi ya wote..
Jk ameacha kitu fulani ambacho kwa namna moja au nyingine JPM akiongeza nguvu kidogo na umakini tutajinasua kwenye tope.
Kuna mambo mazuri JK kafanya, nami nakubali lakini tafuta kumbukumbu na uongeze uelewa kujua orodha ya mambo ambayo JK Nyerere alifanya. Mpaka sasa hakuna Rais aliyefanya hata robo ya yale aliyoyafanya Rais wa kwanza Mwalimu Nyerere, hiyo siyo kwa ushabiki bali kwa takwimu.
 
Kuna mambo mazuri JK kafanya, nami nakubali lakini tafuta kumbukumbu na uongeze uelewa kujua orodha ya mambo ambayo JK Nyerere alifanya. Mpaka sasa hakuna Rais aliyefanya hata robo ya yale aliyoyafanya Rais wa kwanza Mwalimu Nyerere, hiyo siyo kwa ushabiki bali kwa takwimu.
1985 Wakati Nyerere anaachia Madaraka ulikuwa na Umri gani?
Kadi ya Chama cha Mapinduzi na Nakala ya Magazeti ya Uhuru Ndio vitu pekee vilikuwa vinapatikana bila ya saini ya Mjumbe wa Nyumba 10 na bila ya urasimu
 
July 15 2016 ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili‘ imeweza kufanya matibabu ya kumuwekea mgonjwa kifaa cha kusaidia moyo kufanya kazi zake kwa mtoto wa miaka mitano, kifaa hicho kinaitwa pacemaker operation hii ni ya kwanza kwa Tanzania kufanyika kwa mtoto.

Mtoto huyu alikuwa na ugonjwa unaoitwa concenital heart block uliokuwa unasababisha mapigo ya moyo kuwa chini sana na kumsababisha kushindwa kumudu maisha ya kawaida kwa umri wake.

Uongozi wa taasisi ya moyo ya Jakaya Kikwete ‘Muhimbili’ wamewataka watanzania watambue uwepo wa huduma hiyo katika taasisi na kwamba kwa wale ambao wanashida juu ya mapigo ya moyo, wanaweza kwenda kwenye taasisi na kufuatilia matibabu.

IMG-20160715-WA0062.jpg

.

IMG-20160715-WA0061.jpg

.

IMG-20160715-WA0059.jpg

.

IMG-20160715-WA0063.jpg

.

IMG-20160715-WA0064.jpg

.

IMG-20160715-WA0065.jpg

.

IMG-20160715-WA0066.jpg

.

IMG-20160715-WA0060.jpg

.

IMG-20160715-WA0067.jpg

.

IMG-20160715-WA0068.jpg


Maoni yangu

JK AMEFANYA MAKUBWA SANA KATIKA HILI LA TAASISI YA MOYO, NAUNGANA NA RAIS MAGUFULI, JK APUMZIKE KWA RAHA ZAKE AMEFANYA KAZI NZURI MUNGU AMPE AFYA NA MAISHA MAREFU
Nakuunga mkono hoja na maoni yako mkuu mh. Jk kafanya mengi kwa nchii hii c hapo muhimbili tuu Bali hata miundombinu ya barabara ni yeye ndio mwenye record ya kutandaza lami km nyingi zaidi ya rais yeyote bongo hii tangu Uhuru.
 
Kuna mambo mazuri JK kafanya, nami nakubali lakini tafuta kumbukumbu na uongeze uelewa kujua orodha ya mambo ambayo JK Nyerere alifanya. Mpaka sasa hakuna Rais aliyefanya hata robo ya yale aliyoyafanya Rais wa kwanza Mwalimu Nyerere, hiyo siyo kwa ushabiki bali kwa takwimu.

Ni kweli JKN kuna mazuri pia aliyafanya, ila makosa yake makubwa kama baba wa taifa ndiyo yanaligarimu taifa mpaka leo. ALISHINDWA KUJENGA MSINGI IMARA AMBAO MPAKA LEO UNGEIONGOZA TANZANIA NA KUJENGA KIZAZI IMARA KAMA AMBAVYO MABABA WAMATAIFA MENGINE WALIFANYA. Kama baba wa taifa hakujua ni njia gani taifa la tanzania lilitakiwa lielekee na kila kizazi kitakachozaliwa kinatakiwa kiishije na kifuate msingi gani, utaona ndani ya utawala wa wamu ya pili tu ilitosha kabisa misingi yote kuvunjika na kuvunjwa, MAO kama baba wa taifa la china mpaka kesho misingi yake inaheshimika na kutumika kulijenga taifa la china na misingi yake pia ndio imelijenga taifa la china.
 
1985 Wakati Nyerere anaachia Madaraka ulikuwa na Umri gani?
Kadi ya Chama cha Mapinduzi na Nakala ya Magazeti ya Uhuru Ndio vitu pekee vilikuwa vinapatikana bila ya saini ya Mjumbe wa Nyumba 10 na bila ya urasimu

mkuu ni ngumu sana ukweli kusemwa, kosa kubwa la huyu Mzee wetu ndio mpaka leo unaligharimu taifa, KUTOJENGA MSINGI IMARA UTAKAOTUMIKA KULIJENGA TAIFA LA TANZANIA, hii ilisababisha kila Rais aliyefuata baada yake kushindwa kujenga alipoachia yeye maana huwezi kuongeza kozi wakati msingi ni weak, leo hii unakuta kuna mafisadi wazee ambao wengi wao ni kizazi alichotuachia wanalisisha wizi watoto wao nasio hekima, kama msingi imara ungejengwa sidhani kama leo hii tungefika hapa.
 
kikwete ndio rais bora kuliko awamu zote mpaka sasa...

ngoja tumuone magufuli nae baada ya miaka 10..

ila kikwete kafanya makubwa mengi sana..

mkwere ni jembe
 
Hii ni minor operation tu,wala si complicated kama open heart surgery ile aliwahi kufanya Dr Masau.Kwa wenzetu hata mwanafunzi wa udaktari mwaka wa nne anaeza fanya.Masau was a talented cardiothoracic surgeon mkamfanyia figisu huku mkisema kuwa ethics zenu haziruhusu kujitangaza ,leo kwa hii minor operation mshaanza kutafuta ujiko mwenye media.Kweli kunya anye kuku...
 
Amehusikaje katika kuweka moyo kwa mtoto? Some people bwana?!
Wanashangaza,huyo JK alitoa hela mfukoni mwake?Kodi yetu ndio imefanya kazi husika.Watanzania wengi hawajitambui "legacy ya fikra sahihi ya mwenyekiti wa....."bado haija waisha watu wengine.Jambo la kujisifia binafsi,sifa zinakwenda kwingine
 
Back
Top Bottom